Wabunge wa Afrika mashariki wataja vikwazo vinavyotakiwa kushughulikiwa haraka


Wabunge  wa bunge la Afrika mashariki wamezunguzia baadhi ya vikwazo amabayo vimekua vikizorotesha maendeleo ya jumuiya hiyo vinavyo zui wananchi kunufaika katika viwango vinavyo takiwa

Kaimu mwenyekiti wa bunge hilo Mhe Adbulla Mwinyi  ametoa wito kwa serikali za nchi wanachama katika jumuia ya afrika mashariki kushughulikia masuala ya msingi kama hela ya pamoja, hati za kusafiria,

Iwapo mambo haya yatashughulikiwa kunamanufaa makubwa ambayo yatapatika hasa kupanua kwa soko la afrika mashariki

0 comments:

Post a Comment